UKAMILISHWAJI KIWANJA CHA NDEGE MSALATO UNAHITAJI UMAKINI NA KUJALI THAMANI YA FEDHA- PROF.MBARAWA

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma. Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amewataka wadau wote wanaosimamia ujenzi wa Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Msalato kushirikiana ili ujenzi huo ukamilike ifikapo Mwezi Mei mwaka huu. Akizungumza jijini Dodoma, Januari 14, 2026 wakati akikagua maendeleo ya ujenzi huo, Prof. Mbarawa amesema hatua ya ukamilishaji wa ujenzi (finishing),…

Read More

DC Arusha alivyozima mgomo wa wafanyabiashara

Arusha. Mgomo wa wafanyabiashara wa maduka jijini Arusha uliokua umeitishwa na Mwenyekiti wa Umoja wa wafanyabiashara, Rocken  Adolf umesitishwa kupisha majadiliano yaliyoitishwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph Mkude ili kupata suluhu la kudumu la mgogoro huo ambao umekua ukiibuka mara kwa mara. Wafanyabiashara wenye maduka wanalalamika kushindwa kuendesha biashara zao kwa uhuru na…

Read More

Wizara moto kwa mawaziri kudumu mrefu

Dar es Salaam. Katika miongo miwili iliyopita, uteuzi na mabadiliko kwenye Baraza la Mawaziri nchini vimeibua taswira mbili tofauti; wizara ambazo mawaziri wake hubadilika mara kwa mara kana kwamba ni bandika badua, na nyingine zenye uthabiti ambapo mawaziri hukaa kwa muda mrefu. Mwelekeo huo umeendelea kujitokeza hata katika awamu ya sita chini ya Rais Samia…

Read More

Dk Mwigulu atoa maelekezo kulinda kazi za wazawa

Dodoma. Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba amezitaka wizara zinazohusika na masuala ya ajira zisimamie kikamilifu utekelezaji wa sheria zinazotaka kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania zisifanywe na wageni isipokuwa zile zinazohitaji utaalamu ambao nchi ina upungufu. Vilevile, Dk Mwigulu amekemea tabia ya baadhi ya wenye nyumba kumpangisha raia mmoja wa kigeni na kumruhusu mpangaji huyo apangishe…

Read More

Mbinu kukomesha wateule wa Rais kutunishiana msuli

Dar es Salaam. Kauli za mara kwa mara za Rais Samia Suluhu Hassan kukemea mivutano kati ya watumishi na wateule wake zimeendelea kuwa rejea ya mjadala wa utendaji wa Serikali, huku wachambuzi wa siasa na uongozi wakisema ili kumaliza changamoto hiyo, watendaji wanapaswa kujengewa uelewa. Ingawa Rais amekuwa akitoa onyo na maelekezo kwa nyakati tofauti,…

Read More

WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA JAPAN NCHINI

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Yoichi Mikami na kujadiliana naye masuala ya uchumi, miradi ya maendeleo na uwekezaji. Akizungumza na Balozi huyo leo (Jumatano, Januari 14, 2026) ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma, Waziri Mkuu ameishukuru nchi hiyo kwa kuendelea kushirikiana na Tanzania kukamilisha ujenzi wa miradi mbalimbali…

Read More

Profesa Mbarawa: Ifikapo Mei ndege zianze kutua Msalato

Dodoma. Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amemwagiza mkandarasi anayejenga uwanja wa ndege wa Msalato kukamilisha kazi yake ili ifikapo  Mei ndege zianze kutua. Aidha Profesa ameitaka pia Mamlaka ya Viwanja vya Ndege kuanza mchakato wa kutafuta magari ya zimamoto walau matatu kwa maeneo mengine, wakati magari matano ya uwanja huo yakitaraji kufika Agosti hadi…

Read More