Rais Samia Awaapisha Mawaziri na Viongozi Mbalimbali Leo Ikulu Chamwino
Rais Samia Awaapisha Mawaziri na Viongozi Mbalimbali Leo Ikulu Chamwino – Global Publishers Home Habari Rais Samia Awaapisha Mawaziri na Viongozi Mbalimbali Leo Ikulu Chamwino
Rais Samia Awaapisha Mawaziri na Viongozi Mbalimbali Leo Ikulu Chamwino – Global Publishers Home Habari Rais Samia Awaapisha Mawaziri na Viongozi Mbalimbali Leo Ikulu Chamwino
::::::::: TMA imebainisha njia rasmi zinazotumika katika kusambaza taarifa za hali ya hewa nchini, hayo yalizungumzwa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Ofisi ya Zanzibar, Ndg. Masoud Makame Faki alipokuwa anazungumza na wananchi kupitia vyombo mbalimbali vya habari kwa lengo la kuwakaribisha kutembelea banda la TMA lililopo kwenye Maonesho ya 12…
Mechi Kali Zatikisa Saudi League, Bundesliga na FA Cup leo – Global Publishers Home Michezo Mechi Kali Zatikisa Saudi League, Bundesliga na FA Cup leo
Zombie Apocalypse Na Mapinduzi ya Burudani ya Kasino Meridianbet – Global Publishers Home Burudani Zombie Apocalypse Na Mapinduzi ya Burudani ya Kasino Meridianbet
Yanga Yatwaa Taji la Mapinduzi Cup kwa Penalti Dhidi ya Azam FC – Global Publishers Home Habari Yanga Yatwaa Taji la Mapinduzi Cup kwa Penalti Dhidi ya Azam FC
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemtaka Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda na Naibu wake, Hamis Mwinjuma maarufu Mwana FA kuacha malumbano na badala yake washirikiane kikamilifu katika utekelezaji wa majukumu yao ya kazi. Rais Samia amesema hatasita kuwaweka kando viongozi watakaoshindwa kufanya kazi kwa ufanisi kutokana na migogoro ya ndani,…
:::::::: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameufungua rasmi Uwanja wa mpira wa miguu wa Gombani uliopo Wilaya ya Chake Chake, Mkoa wa Kusini Pemba. Hafla hiyo imehudhuriwa na Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaib Mussa, pamoja na…
Wakili Ajiondoa Kesi ya Utakatishaji Fedha Inayomkabili Matage na wenzake watano – Global Publishers Home Habari Wakili Ajiondoa Kesi ya Utakatishaji Fedha Inayomkabili Matage na wenzake watano
Wadau mbalimbali wakipata Elimu katika banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) wakati wa maonesho kwenye siku maalum ya Wataalamu wa Uhasibu (NBAA Career Day) ***************** Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) leo imeshiriki katika maonyesho maalum yaliyoandaliwa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi (NBAA) kwa ajili ya kuadhimisha Siku ya Wataalamu wa Uhasibu….
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Klabu ya Yanga SC imefanikiwa kubeba Kombe la Mapinduzi baada ya kuifunga Azam FC kwa mikwaju ya penati katika mchezo wa fainali uliopigwa kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba. Mchezo huo uliisha bila kufungana katika dakika 90 za kawaida na hata baada ya kuongezwa dakika 30 za muda wa nyongeza, ambapo…