MAFUTA NA GESI NI NGUZO YA UCHUMI WA TAIFA

   *Sekta ya mafuta na gesi kama nguzo ya maendeleo ya Taifa* Na Rashid Mtagaluka. Tarehe 14 Novemba 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, aliwasilisha hotuba yake ya kwanza ya muhula mpya mbele ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hotuba iliyobeba maelekezo ya kimkakati kuhusu mwelekeo…

Read More

Super Heli Premium Yaja Kubadilisha Sheria za Kasino

MERIDIANBET Tanzania inakuletea Super Heli Premium, mchezo unaokusanya msisimko, ujasiri na maamuzi ya haraka kwenye kila raundi. Hapa, bahati pekee haitoshi, kila sekunde ni fursa, kila uamuzi ni hatua kuelekea ushindi. Helikopta inapoanza kupaa, unakuwa katikati ya tukio, ukiamua ni lini kusimama na ni lini kupaa zaidi. Safari ya Super Heli Premium inakufanya ujisikie kama…

Read More

Siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan madarakani

  *Sekta ya mafuta na gesi kama nguzo ya maendeleo ya Taifa* Na Rashid Mtagaluka. Tarehe 14 Novemba 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, aliwasilisha hotuba yake ya kwanza ya muhula mpya mbele ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hotuba iliyobeba maelekezo ya kimkakati kuhusu mwelekeo…

Read More

Madereva watishia mgomo kutekwa kiongozi wao, Polisi waeleza alipo

Dar es Salaam. Umoja wa Madereva wa Malori, Mabasi na IT–Tanzania (Tatamata) umetishia kusitisha shughuli zao nchini, kushinikiza kupatikana kwa kiongozi wao, Godlove Materu, anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana. Wakati madereva hao wakitishia mgomo,Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limekanusha madai ya kutekwa  kwa Materu, likithibitisha kuwa linamshikilia kwa uchunguzi wa tuhuma mbalimbali za kisheria….

Read More

Serikali yataka matumizi ya mfumo wa anwani za makazi nchi nzima

Dar es Salaam. Serikali imezitaka taasisi zote za umma na binafsi kuanza kutumia mfumo wa kitaifa wa anwani za makazi, hatua inayolenga kuboresha utoaji wa huduma na kuimarisha mwelekeo wa taifa kuelekea uchumi wa kidijitali. Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angelah Kairuki, amebainisha hayo alipomwakilisha Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, wakati wa maadhimisho…

Read More

Mabula akiri ngoma mzito Azerbaijan

KIUNGO wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Shamakhi FK ya Ligi Kuu Azerbaijan, Alphonce Mabula amesema mzunguko wa pili wa ligi hiyo umeanza kwa kasi kubwa, huku ushindani ukiwa mkali zaidi kuliko ilivyokuwa awali. Huu ni msimu wa pili wa kiungo huyo wa timu ya taifa, Taifa Stars kuitumikia timu hiyo. Msimu uliopita alicheza nusu msimu…

Read More

Oura atoa kauli nzito Simba

LICHA ya kucheza mechi tano bila kuibuka na ushindi wowote katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, winga mpya wa Simba, Anicet Oura, amewatuliza mashabiki wa klabu hiyo akiwaambia anaamini nyakati nzuri zinakuja mbele yao kutokana na kazi kubwa inayofanywa na wachezaji, benchi la ufundi na viongozi wa timu hiyo. …

Read More