HUU NDIO UTOFAUTI WA CCM NA VYAMA VINGINE – KIHONGOSI

Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Komredi Kenani Labani Kihongosi,ametembelea Shina Namba 7 la CCM katika Tawi la Manyoni Mjini, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kimkakati ya kuimarisha uhai wa Chama kuanzia ngazi ya mashina mkoani Singida. Akiwa katika shina hilo lenye wanachama 150, Ndugu Kihongosi aliwashukuru…

Read More

KIHONGOSI APOKELEWA KWA KISHINDO MANYONI

Manyoni, Singida, Januari 18, 2026 Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Kenani Labani Kihongosi, ameanza rasmi ziara yake ya kimkakati leo tarehe 18 Januari 2026 mkoani Singida, ambapo ameanzia Wilaya ya Manyoni. Ziara hii ni ziara maalum ya Chama Cha Mapinduzi inayolenga kuhakikisha Chama kinawafikia wanachama wote nchini…

Read More

Namba za Stumai Abdallah Ligi Kuu ya Wanawake

MFUNGAJI bora wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) msimu uliopita, Stumai Abdallah hajafikia kiwango alichokionyesha msimu uliopita baada ya kuanza msimu huu kwa kufunga bao moja na asisti nne. Hadi sasa, Stumai amefunga bao moja pekee katika mechi nane alizocheza, tofauti na msimu uliopita na hadi raundi hii tayari alikuwa amefikisha mabao 11, takwimu zilizomfanya…

Read More

KCMC kutibu tezi dume kwa kutumia teknolojia ya mvuke

Moshi. Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka India, inatarajia kuanza kufanya upasuaji wa kisasa wa kutibu tezi dume kwa kutumia teknolojia mpya ijulikanayo kitaalamu kama Rezum Water Vapor Therapy, ambao utafanyika kwa mara ya kwanza nchini. Teknolojia hiyo hutumia mvuke wa maji na huchukua takribani dakika 15…

Read More

Mbeya Kwanza yachomoa straika Tanzania Prisons

BAADA ya Mbeya Kwanza kumuuza, Boniface Mwanjonde aliyejiunga na Fountain Gate dirisha hili dogo la Januari 2026, mabosi wa kikosi hicho wamekamilisha usajili wa aliyekuwa mshambuliaji wa maafande wa Tanzania Prisons, Lucas Sendama. Sendama ameenda kuzipa nafasi ya aliyekuwa mshambuliaji nyota wa kikosi hicho, Mwanjonde, ambaye ameondoka, huku akiwa amehusika kwenye mabao 13, katika mechi…

Read More