Rais Samia Akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa China Ikulu
Rais Samia Akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa China Ikulu – Global Publishers Home Habari Rais Samia Akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa China Ikulu
Rais Samia Akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa China Ikulu – Global Publishers Home Habari Rais Samia Akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa China Ikulu
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, ameweka wazi sababu za kumteua Profesa Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Ikulu (Kazi Maalumu). Kabla ya uteuzi, Profesa Kabudi alikuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Rais amesema uamuzi huo umetokana na mahitaji mapya ya uendeshaji wa Serikali katika mazingira ya siasa…
KLABU ya Azam huenda ikaachana na winga Mtunisia Baraket Hmidi, baada ya mchezaji huyo kushindwa kulishawishi benchi la ufundi la timu hiyo chini ya Kocha Mkongomani Florent Ibenge tangu asajiliwe. Nyota huyo aliyejiunga rasmi na Azam, Agosti 16, 2025, akitokea CS Sfaxien ya kwao Tunisia, inadaiwa ataondolewa katika dirisha hili dogo la Januari, ambapo hadi…
RAIS Samia Saluhu Hassan ameipongeza timu ya taifa ‘Taifa Stars’ kwa kufika 16 bora ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), inayoendelea huko Morocco. Stars iliyokuwa inashiriki mashindano hayo kwa mara ya nne ilitolewa na Morocco kwa kuchapwa bao 1-0, ingawa imeweka rekodi ikiwa ni mara ya kwanza inafika hatua hiyo kwani mara tatu…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko makubwa ya kimkakati katika safu ya washauri wake, akiwateua aliyekuwa Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango, na aliyekuwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kuwa Washauri wa Rais. Akizungumza leo, Januari 10, 2026,…
Unguja. Rais mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema Mapinduzi ya mwaka 1964 yalikuwa ya lazima ili kurejesha na kujenga heshima ya Mzanzibari, jambo ambalo limefanikiwa kwa kiwango kikubwa mpaka sasa. Dk Shein ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Januari 10, 2026, wakati akifungua barabara ya kilometa 13.2 kutoka Kitogani hadi…
Dar es Salaam. Abate wa Abasia ya Ndanda wa Kanisa Katoliki, Christian Temu amesema Wakristo wanapaswa kutambua kuwa woga si jambo la kuchagua, bali wanawajibika kuwa wajasiri, kupenda kusema na kusimamia ukweli na kuzungumzia masuala ya haki bila kuogopa. Abate Temu amesema hayo ni kwa sababu haki na amani ni matunda ya Kimungu yasiyotengenezwa na…
Dar es Salaam. Wakati mawakili wa mtengeneza maudhui mtandaoni, Clemence Mwandambo, wakifungua shauri Mahakama Kuu Masjala Ndogo Mbeya, kuomba amri afikishwe mahakamani, tayari amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Temeke na kuachiwa kwa dhamana. Mwandambo, mwalimu wa Shule ya Awali ya St. Clemence, amekuwa maarufu mitandaoni kutokana na maudhui yake yenye kibwagizo: “Nachoka baba yenu Clemence…
MERIDIANBET Missions inaleta mtazamo mpya kabisa wa kushiriki michezo ya kasino kwa kugeuza kila hatua ya mchezaji kuwa sehemu ya safari yenye malengo. Mfumo huu unakupa changamoto maalum zinazokusanya pointi kulingana na ushiriki wako, na hivyo kufanya kila mzunguko au mchezo uwe na maana zaidi katika safari yako ya burudani ya kidijitali. Ndani ya Missions,…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar imepiga hatua kubwa katika kuimarisha mazingira ya kujifunzia kwa kujenga skuli za kisasa zenye hadhi, viwango na ubora unaokidhi mahitaji ya elimu ya karne ya sasa. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo tarehe 10 Januari 2026 alipofungua Skuli mbili za…