NAIBU WAZIRI OFISI YA RAIS -UTUMISHI ATOA RAI KWA WANANCHI ARUMERU KUILINDA MIRADI YA TASAF

Na Mwandishi Wetu,Arusha. NAIBU Waziri Ofisi ya Rais-Utumishi, Regina Qwaray,amewataka wananchi wa Wilaya ya Arumeru walionufaika na miradi iliyojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jami (TASAF), kuilinda kwa wivu mkubwa miradi hiyo ili idumu kwa muda mrefu na kuwapa huduma nnafuu. Ametoa raia hiyo jana alipotembelea miradi ya mfereji wa umwagiliaji maji katika Kata ya…

Read More

Kile ambacho Marekani kujitoa kwenye mashirika ya Umoja wa Mataifa kunaweza kumaanisha kwa hali ya hewa, biashara na maendeleo – Masuala ya Ulimwenguni

Ijumaa, Januari 09, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Nia ya Marekani ya kujiondoa katika mashirika mengi ya Umoja wa Mataifa iliyotangazwa wiki hii inalenga programu na mipango inayozingatia maeneo mbalimbali muhimu, ikiwa ni pamoja na mgogoro wa hali ya hewa, biashara, jinsia na maendeleo. Wakati Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stéphane Dujarric taarifa Waandishi…

Read More

Kujiondoa kwa Marekani kutoka kwa Taasisi za Kimataifa Kunadhoofisha Utawala wa Sheria – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: WMO/Daniel Pavlinovic / UN News Maoni na Kituo cha Sheria ya Kimataifa ya Mazingira (Washington, Marekani) Ijumaa, Januari 09, 2026 Inter Press Service WASHINGTON, MAREKANI, Januari 9 (IPS) – Agizo kubwa la Utawala wa Trump la kuondoa Maŕekani kutoka kwa mashiŕika kadhaa ya Umoja wa Mataifa na mashiŕika ya kimataifa, pamoja na mkataba ulioidhinishwa…

Read More

DKT. CHAYA: UWEKEZAJI WA VIWANDA NI NGUZO YA AJIRA, MASOKO YA WAKULIMA NA UCHUMI WA TAIFA

Mkurugenzi Mtendaji wa Jambo Group of Companies, Mhe. Salum Khamis akieleza hatua za uzalishaji pamoja na uwekezaji uliofanyika kiwandani.Mkurugenzi wa Kampuni ya East African Spirits (T) Limited (EASTL), Bw. Gaspar Kileo, akimuongoza Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Mhe. Dkt. Pius Stephen Chaya, kutembelea maeneo mbalimbali ya uzalishaji katika kiwanda…

Read More

Kuondoa Mifumo ya Chakula Kutoka kwa Makubaliano ya Hali ya Hewa Ni Kichocheo cha Maafa – Masuala ya Ulimwenguni

Kilimo ni changamoto na suluhu la mabadiliko ya tabianchi. Busani Bafana/IPS by Busani Bafana (bulawayo) Ijumaa, Januari 09, 2026 Inter Press Service BULAWAYO, Januari 9 (IPS) – Walipokuwa wakila chakula cha kupimwa, wahawilishi wa COP30 hawakuwa na hamu ya kurekebisha mifumo ya chakula iliyoharibika, chanzo kikubwa cha uchafuzi wa hali ya hewa, wataalam wanaonya. Mifumo…

Read More

Mtoto afa kwa kutumbukia shimoni

Tabora. Mtoto wa miaka mitatu na nusu aitwaye Yasini Sadiki, mkazi wa Kitongoji cha Itetemia, Kata ya Itetemia Manispaa ya Tabora, amefariki dunia baada kutumbukia kwenye shimo lenye maji wakati akicheza na wenzake. Shimo hilo linalodaiwa kumilikiwa na mchungaji mmoja Tabora Mjini ni maalumu kwa ajili ya kuchimbwa mchanga ambao hutumika kwa ujenzi. Akizungumzia tukio…

Read More

Wananchi washauriwa kufanya uchunguzi wa afya zao

Arusha. Naibu Waziri wa Afya, Dk Florence Samizi ametoa wito kwa wananchi kuwa na tabia ya kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara ili kujua hali zao kwasababu takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa vifo milioni 17 ambavyo ni sawa na asilimia 32 duniani vinasababishwa na magonjwa ya moyo. Amesema hayo leo…

Read More

Ndugu wa mke waliotaka kumdhulumu shemeji nyumba wafukuzwa

Arusha. Wananchi wa Mtaa wa Mashariki, Kata ya Muriet iliyopo Halmashauri ya Jiji la Arusha, wamefanikiwa kuwaondoa baadhi ya ndugu waliokuwa wakitaka kumfukuza shemeji yao baada ya mkewe kufariki dunia. Michael Mbuya alifiwa na mke wake, Zaiduna Bakari, Desemba 17, 2025 ambaye alizikwa Desemba 20, 2025 jijini Arusha lakini baada ya maziko baadhi ya ndugu…

Read More