ZMCC yahimiza ushirikiano, mazingira ya bora ya biashara Zanzibar

Unguja. Wakati maonyesho ya 12 ya Biashara ya Kimataifa Zanzibar (ZITF) yakifungwa, Wafanyabiashara wamesisitiza ushirikiano kati ya sekta binafsi na umma na kuimarisha mazingira wezeshi ya biashara ili wajasiriamali na wafanyabiashara waweze kukua na kushindana kikanda na kimataifa. Mwenyekiti wa Chemba ya Biashara Zanzibar (ZMCC), Ali Amour amesema hatua hiyo itachangia zaidi katika kuongeza ajira…

Read More

Bandari ya Tanga yatoa onyo kwa madereva wizi wa vipuri

Tanga. Bandari ya Tanga imesema madereva wa magari ya mizigo wana nafasi kubwa ya kunufaika na biashara ya usafirishaji wa magari yanayopitia bandarini hapo iwapo watajenga uaminifu na kufanya kazi zao kwa uadilifu na weledi. Kauli hiyo imetolewa na Meneja wa Bandari ya Tanga, Salehe Mbega, wakati wa uzinduzi wa Chama cha Madereva wa Magari…

Read More

Watumishi TRA wafanya matembezi kuhamasisha ulipaji kodi

Dodoma. Chama cha Wafanyakazi Wakusanya Mapato Tanzania  (Tarewu) kimefanya matembezi ya mshikamano kwa lengo la kuimarisha uhusiano kati ya wakusanya mapato na walipa kodi, hatua inayolenga kukuza uelewano, amani na ushirikiano katika shughuli za kiuchumi. Akizungumza wakati wa matembezi hayo, leo Januari 17, 2026 Mwenyekiti wa chama hicho, Rutufya Mtafya, amesema chama hicho kinawaunganisha wafanyakazi…

Read More

DC MAGOTI AFUNGA MAFUNZO KWA MADIWANI WA MKOA WA PWANI

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Mheshimiwa Petro Magoti akiwa kwenye picha ya pamoja na Mtendaji Mkuu wa ADEM, Dkt. Maulid J. Maulid, Katibu Tawala wa Wilaya ya Kisarawe pamoja na Mwakilishi wa Madiwani wa Mkoa wa Pwani, mara baada ya kufunga mafunzo kwa Waheshimiwa Madiwani. Mh. Magoti alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mheshimiwa Kunenge,…

Read More

WHO yapendekeza ushuru zaidi kwa vinywaji hivi

Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema uuzwaji wa vileo pamoja na vinywaji vyenye sukari nyingi kwa gharama nafuu katika baadhi ya nchi duniani, unachochea ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza. WHO imetaja kiwango cha chini cha kodi katika bidhaa hizo kama moja ya sababu ya bidhaa hizo kuuzwa kwa gharama nafuu, jambo linalosababisha kuongezeka…

Read More

Vifo vya watu wakiwa ndani peke yao vyashtua

Dar es Salaam. Matukio ya watu kufariki dunia wakiwa ndani ya nyumba walizoishi peke yao na miili kugundulika baadaye yanatia hofu na kuibua maswali kuhusu usalama na mshikamano wa kijamii. Alhamisi Januari 15, 2026, mkazi wa Igodima, jijini Mbeya, Zainabu Mwalyepelo, mwalimu na mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Katoliki Mbeya (CUoM), alikutwa amefariki dunia nyumbani…

Read More