Nai Avunja Ukimya Kuhusu Tetesi Zake na Pacome Zouzoua – Video
Nai Avunja Ukimya Kuhusu Tetesi Zake na Pacome Zouzoua – Video – Global Publishers Home Burudani Nai Avunja Ukimya Kuhusu Tetesi Zake na Pacome Zouzoua – Video
Nai Avunja Ukimya Kuhusu Tetesi Zake na Pacome Zouzoua – Video – Global Publishers Home Burudani Nai Avunja Ukimya Kuhusu Tetesi Zake na Pacome Zouzoua – Video
Moshi. Wakati maziko ya kijana Michael Rambau (19) ambaye polisi wanasema alijiua kwa kujinyonga akiwa Kituo Kikuu cha Polisi mjini Moshi yakifanyila leo, Jumamosi, Januari 17, 2026, maswali 10 tata bado hayajapata majibu juu ya mazingira ya kifo hicho. Kijana huyo ambaye ni fundi bomba na dereva bodaboda mkazi wa mtaa wa Karikacha, kata ya…
Miaka 10 ya Infantino FIFA, Mshahara Wake Waibua Maswali – Global Publishers Home Habari Miaka 10 ya Infantino FIFA, Mshahara Wake Waibua Maswali
Meja Jenerali Gaguti Afunga Rasmi Zoezi La Medani Msata – Global Publishers Home Habari Meja Jenerali Gaguti Afunga Rasmi Zoezi La Medani Msata
Akitoa maelezo mafupi kwa waandishi wa habari kwa kiungo cha video kutoka Jeddah kufuatia ziara ya kina katika eneo hilo, Jean-Pierre Lacroix, alisema kumekuwa na hali mbaya katika matukio hatari yanayohusisha walinda amani na mazingira tete ambamo misheni zinafanya kazi. Aliongeza kuwa ujumbe wa Umoja wa Mataifa unaendelea kutekeleza majukumu yao licha ya changamoto zinazoendelea…
Na Munir Shemweta, WANMM Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo amesema watakuwa wakali kwa watumishi watakaokiuka taratibu za utendaji na kusababisha migogoro ya ardhi. Dkt. Akwilapo ametoa kauli hiyo leo tarehe 16 Januari, 2026 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii wakati wa kikao…
. ……… Na Beatus Maganja, Dar es Salaam SERIKALI kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) leo tarehe 16 Januari, 2026 imesaini mikataba mitano (5) ya uwekezaji katika sekta ya uhifadhi na utalii yenye thamani ya jumla ya Dola za Marekani 24,996,672 sawa na takribani Shilingi Bilioni 63 za Kitanzania, na Kampuni ya…
Beckham Aonyesha Maendeleo ya Uwanja Mpya wa Inter Miami, Mashabiki Wavutiwa – Global Publishers Home Michezo Beckham Aonyesha Maendeleo ya Uwanja Mpya wa Inter Miami, Mashabiki Wavutiwa
Hiyo ni kwa mujibu wa Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu Volker Türk, ambaye alikuwa na majadiliano na viongozi zaidi ya 40 wa vyama vya kiraia vya Sudan katika mji mkuu wa Jimbo la Kaskazini, Dongola, wiki hii. “Lakini wawakilishi hawa pia wamepata suluhisho,” Bw. Türk alisema katika a video kwenye X….
KAMA unakumbuka jana Mwanaspoti lilikueleza kuhusu kutibuka kwa dili la kiungo mshambuliaji wa Simba, Jean Charles Ahoua kutuatika Raja Casablanca ya Morocco na kudokeza kuwa hata hivyo hatasalia klabuni hapo kutokana na kuuzwa klabu nyingine ya Uarabuni. …