Sita washikiliwa tuhuma za mauaji ya bodaboda Ngosha Tabora

Tabora. Watu sita wamekamatwa mkoani Tabora kwa tuhuma za mauaji ya waendesha bodaboda akiwemo Hamisi Nchambi maarufu Ngosha ambaye mwili wake ulitelekeza juu ya kaburi. Hatua hiyo imekuja baada ya operesheni ambayo imeendeshwa na Jeshi la Polisi mkoani Tabora kutokana na matukio ya mauaji ya bodaboda. Akizungumza leo Ijumaa Januari 16, 2026, Kaimu Kamanda wa…

Read More

Profesa Kitila atangaza vita na wanaoomba rushwa wawekezaji

Dar es Salaam. Serikali imesema inatambua uwepo wa baadhi ya watumishi wanaosumbua wawekezaji kwa kuwaomba rushwa pindi wanapokuja nchini, huku ikiahidi kuwashughulikia. Hilo linawekwa wazi wakati ambao kampeni maalumu ya kuvutia uwekezaji wa ndani katika mwaka 2026 inazinduliwa, ikilenga kuongeza ushiriki wa wazawa katika uwekezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Kampeni hiyo imezinduliwa leo Ijumaa,…

Read More

Adaiwa kumuua mkewe mjamzito kwa mateke, ngumi

Mwanza. Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Seke Mabirika (45) kwa tuhuma ya mauaji ya mke wake, Rahel Mabina (39) kwa kumshambulia kwa ngumi na mateke sehemu mbalimbali za mwili wake. Tukio hilo limetokea jana Alhamisi Januari 15, 2026 saa 1:00 asubuhi, katika Kitongoji cha Tinda, kata ya Mwamabanza wilayani Magu. Kwa mujibu wa taarifa kwa…

Read More