Uchaguzi mkuu waahirisha kufungua shule Uganda
Wizara ya Elimu na Michezo nchini Uganda imetangaza kuahirishwa kufunguliwa kwa shule na taasisi zote za elimu nchini humo hadi Jumanne, Februari 10, 2026, ikitaja sababu za Uchaguzi Mkuu nchini humo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kusainiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Dk Kadrace Turyagyenda leo Ijumaa Januari 16, 2026 imeeleza kuwa…