Wenyeviti wa mikoa Chadema waja na maazimio saba

Dar es Salaam. Umoja wa Wenyeviti wa Mikoa 31 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) umekuja na maazimio ya kuunga mkono kile kilichofanywa na Kamati Kuu juu ya matukio ya wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Siku hiyo ya uchaguzi kuliibuka maandamano yaliyozua vurugu, uharibifu wa mali na vifo vya…

Read More

SERIKALI YAWATAKA WATANZANIA KUBADILISHA ARDHI KUWA MALI KUPITIA UWEKEZAJI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kitaifa ya uhamasishaji uwekezaji wa ndani kwa mwaka 2026. Uzinduzi huo umefanyika leo Januari 16, 2026 jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) Gilead Teri, akizungumza wakati wa uzinduzi…

Read More

Dk Nchimbi: Serikali imejipanga kuboresha usafiri wa anga

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Emmanuel Nchimbi amesema licha ya uwekezaji katika sekta ya uchukuzi kuhitaji gharama kubwa, Serikali imejipanga kikamilifu kuiboresha sekta ya anga kwa lengo la kuongeza mapato ya fedha za kigeni na kuimarisha mchango wake katika uchumi wa Taifa. Akizungumza leo Ijumaa, Januari 16, 2026, kwenye hafla ya uzinduzi wa mradi…

Read More

MEYA SHETA AFUNGUA OFISI YA DIWANI KATA KISUTU

Na MWANDISHI WETU MEYA wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Nurdin Bilal ‘Sheta’ amefungua rasmi Ofisi ya Diwani Kata ya Kisutu Tousif Mohammedali Bhojani na kumtaka diwani huyo kukaa ofisini kusikiliza na kutatua kero za wananchi badala ya kumweka mwakilishi. Sheta alifungua ofosi hiyo leo baada ya ukarabati mkubwa uliofanywa na Diwani Bhojani…

Read More

MAKAMU WA RAIS AZINDUA JENGO LA VIONGOZI MASHUHURI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE – DAR ES SALAA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali imejizatiti kuhakikisha Sekta ya Uchukuzi inaimarika ili kuliweka Taifa kwenye nafasi nzuri ya ushindani wa kibiashara, kuongeza mapato ya fedha za kigeni na kukuza mchango wa sekta hiyo katika pato la Taifa.  Makamu wa Rais amesema hayo wakati wa uzinduzi…

Read More

Jisajili na Meridianbet na Ushinde Leo

NAFASI ya kuondoka na Mamilioni ipo Meridianbet leo kwani mechi nyingi za ushindi zipo leo. Wakali wa ubashiri Tanzania wanakwambia kuwa ingia kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi. LALIGA kule Hispania kutakuwa na mechi moja kali kati ya Espanyol Barcelona vs Girona mabapo mara ya mwisho kukutana hawa wawili, hakuna ambaye alikuwa…

Read More

Meridianbet Yaimarisha Msingi wa Afya ya Jamii kupitia Mama na Watoto Wachanga

MERIDIANBET imeendelea kuthibitisha kuwa uwajibikaji wa kijamii si kauli mbiu bali ni vitendo vinavyoonekana, hasa katika eneo nyeti la afya ya mama na mtoto. Kupitia mpango wake endelevu, imekuwa ikiwafikia akina mama wajawazito na waliojifungua hivi karibuni, ikilenga kupunguza mzigo wa gharama na changamoto katika kipindi cha uzazi. Katika utekelezaji wa mpango huo, Meridianbet ilitoa…

Read More

Waziri wa zamani wa elimu Uganda afariki dunia

Uganda. Waziri wa Elimu wa zamani nchini Uganda, Geraldine Bitamazire amefariki dunia na akikumbukwa na mchango katika utekelezaji wa Elimu ya Msingi kwa Wote (Upe) na Elimu ya Sekondari kwa Wote (Use). Kifo cha Bitamazire, mwenye umri wa miaka 81, kilichotokea jana Januari 15, 2026, kimethibitishwa na wanafamilia pamoja na wafanyakazi wa Taasisia ya Usimamizi…

Read More

Furahika Kutatua Tatizo la Ajira Kwa Wale Wasio na Ujuzi

Na Mwandishi Wetu CHUO cha Maendeleo ya Ujuzi na Viwanda Tawi la VETA Furahika Mbagala kimesema kuwa katika Maendeleo ya Viwanda nchini kunahitaji uzalishaji wa rasilimali watu yenye ujuzi wa kuhudumia viwanda hivyo. Akizungumza na Michuzi Media Mkurugenzi wa VETA Furahika David Msuya amesema Chuo hicho kimeanzishwa mahususi kwa ajili ya vijana kupata ujuzi bila…

Read More