RAIS DKT.MWINYI AHIMIZA MAADILI, ELIMU NA MSHIKAMANO WA JAMII
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewanasihi Waumini wa Dini ya Kiislamu kutenda mambo mema ili kutajwa kwa wema ndani ya jamii pale wanapotangulia mbele ya haki. Alhaj Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo tarehe 16 Januari 2026, alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Ibada ya…