JWTZ Latoa Msaada Na Huduma Kwa Wananchi  Msata

Last updated Jan 15, 2026 Mkuu wa Shule ya Mafunzo ya Awali ya Kijeshi ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Brigedia Jenerali Sijaona Michael Myalla  ameongoza Maafisa na Askari kutoa Misaada ya kibinadamu kwa Jamii ya Kitongoji cha Lukenge kilichopo katika Kijiji cha Kihangaiko Kata ya Msata Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa…

Read More

KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA WIZARA YA VIWANDA KWA KUENDELEZA KONGANI NA KUSIMAMIA MIRADI YA KIMKAKATI

  MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Mhe. Deodatus Mwanyika, akizungumza  katika kikao cha kwanza cha Kamati hiyo cha kupokea taarifa ya wizara kuhusu muundo, majukumu, sera na sheria kilichofanyika Januari 15, 2026 Bungeni jijini Dodoma. …… MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo…

Read More

DKT. KIJAJI AHIMIZA KAZI NA UTU

Na Sixmund Begashe, Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, amezitaka Taasisi zilizoko chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Utu pamoja na kuishirikisha  jamii katika shughuli za uhifadhi na Utalii. Dkt. Kijaji ameyasema hayo Leo tarehe 15 Januari 2026, jijini Dodoma alipokuwa akifunga kikao kazi maalum…

Read More

ADAKWA KWA WIZI WA CHUPI ZA JIRANI YAKE

…….. GEITA  “Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Filauni” ndivyo wasemavyo wahenga. Msemo huo umechagizwa na tukio la Felista Tablei, mkazi wa mtaa wa Mkoani Kata ya Kalangalala Manispaa ya Geita baada ya kutuhumiwa kuiba nguo za ndani za jirani yake. Hatua hiyo imetokana na ugomvi wa mtuhumiwa na jirani yake aliyefahamika kwa jina la Odetha…

Read More

Wadau watoa wito tafiti zisaidie wajasiriamali

Dar es Salaam. Pengo lililopo kati ya tafiti zinazofanywa katika taasisi za elimu ya juu na mahitaji halisi ya wafanyabiashara limeendelea kudaiwa kuwa kikwazo kikubwa, katika maendeleo ya biashara ndogo na za kati Tanzania na barani Afrika kwa ujumla. Hali hiyo imebainika kuhitaji mabadiliko ya haraka ili tafiti za kitaaluma ziweze kutatua changamoto za wajasiriamali,…

Read More

Jeshi la Irani Ndio Taasisi Pekee Yenye Uwezo wa Kuchochea Kuanguka kwa Utawala – Masuala ya Ulimwenguni.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, “ameshtushwa na ripoti za ghasia na matumizi ya nguvu kupita kiasi na mamlaka ya Iran dhidi ya waandamanaji”, anahimiza kuzuiwa na kurejeshwa kwa mawasiliano mara moja, huku machafuko yakiingia wiki yake ya tatu. 11 Januari 2026. Credit: Umoja wa Mataifa na Alon Ben-Meir (new york) Alhamisi, Januari…

Read More

RC Macha akerwa na utoro kisa sare

Maswa. Wanafunzi wasio na sare mkoani Simiyu hawapaswi kuzuiwa kuhudhuria masomo hasa wale wa darasa la kwanza kwa shule za msingi na kidato cha kwanza kwa shule za sekondari,  kwani kufanya hivyo ni kuwanyima haki yao ya msingi ya kupata elimu. Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anamringi Macha wakati wa ziara yake…

Read More