PPP CENTRE YAELIMISHA WADAU KUHUSU MIRADI YA UBIA NCHINI

KITUO cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi ( PPP Centre), kimeendesha mafunzo kwa wafanyabiashara, wawekezaji na maafisa kutoka taasisi za kiserikali katika Halmashauri za Mkoa wa Tanga, kikielimisha juu ya kazi zinazofanywa na kituo hicho. Akizungumza kwenye kikao kazi kilichofanyika mwishoni mwa wiki mkoani Tanga, kikihusisha makundi hayo, Mkuu wa Kitengo…

Read More

Babu wa miaka 79 kortini akidaiwa kughushi nyaraka

Dar es Salaam. Mfanyabiashara na mkazi wa Ocean Road jijini Dar es Salaam, Sajjad Dawoodbhai (79) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu mashtaka matatu yakiwamo ya kughushi hati ya umiliki wa ardhi na kuwasilisha Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Dawoodbhai amefikishwa mahakamani hapo leo Ijumaa Januari 9, 2026 na kusomewa…

Read More

Misaada inaendelea licha ya hali ngumu ya msimu wa baridi huko Gaza na Ukingo wa Magharibi, UN inasema – Masuala ya Ulimwenguni

Hayo ni kwa mujibu wa Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stéphane Dujarric, akiwahutubia waandishi wa habari mjini New York siku ya Alhamisi. Akinukuu ofisi ya uratibu wa misaada ya Umoja wa Mataifa, OCHABw. Dujarric alisema timu za misaada ya kibinadamu zinaendelea kusaidia familia zilizo hatarini zaidi huko Gaza “licha ya vikwazo” na ongezeko la athari…

Read More

Watano kuipa mzuka Bunda Queens

KOCHA Mkuu wa Bunda Queens, Alley Ibrahim amesema ili kukiongezea nguvu kikosi chao kwenye Ligi Kuu ya Wanawake, watawapandisha wachezaji wao watano kutoka kwenye kituo chao cha kukuza vipaji vya soka (Bunda Queens Program). Timu hiyo Desemba 13, 2025 ilikumbana na adhabu ya kupokonywa pointi tano, kutozwa faini ya Sh5 milioni na mwenyekiti wake kufungiwa…

Read More