Naby Camara amebeba zote | Mwanaspoti

MCHEZAJI mwenye uwezo wa kucheza safu nzima ya ulinzi na kiungo, Naby Camara amefanya kitu cha kipekee kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 inayokwenda kukamilika Januari 13, 2026 kwa kuchezwa fainali kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba. Camara anayetumia zaidi mguu wa kushoto kusakata kabumbu, hadi kufikia nusu fainali kabla ya jana haijahitimishwa hatua hiyo,…

Read More

Myanmar inapigia kura ‘kifuniko’ cha kuimarisha utawala wa kijeshi, mtaalamu huru wa haki za binadamu anasema – Global Issues

Alhamisi kauli kutoka kwa Tom Andrews, UN Baraza la Haki za Binadamu-teuliwa Ripota Maalum kuhusu haki za binadamu nchini Myanmarinaimarisha mapema maonyo kutoka kwa maafisa wakuu wa Umoja wa Mataifa kwamba kura hizo hazina uaminifu wowote wa kidemokrasia. Awamu ya kwanza ya upigaji kura tarehe 28 Disemba ilifichua kile alichokitaja kama “ujanja ulioratibiwa na junta”…

Read More

MAKAMU WA PILI WA RAIS KUZINDUA MASHINDANO YA QUR’AAN

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano makubwa zaidi ya Qur’aan Tukufu duniani yanayoandaliwa na Taasisi ya Alhikma Foundation. Mashindano hayo yanatarajiwa kufanyika mwaka 2026 kwa mara ya 26 tangu kuanzishwa kwake, yakihusisha washiriki kutoka mataifa mbalimbali duniani. Akizungumza Leo jijini Dar es…

Read More

Taarifa Zote za Michezo Zipo Meridianbet Sport Portal

MERIDIANBET Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua mambo mbalimbali yanayoendelea ya kimichezo, kasino, usajili, matokeo, na kupata fursa za kubashiri mechi mbalimbali. Kupitia Kampuni hii kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet…

Read More

Cheza Win&Go Leo, Rejesha 10% ya Hasara Yako

MERIDIANBET inaendelea kukupa faraja kwa kukurudishia sehemu ya hasara kwa kila dau utakalocheza na likapoteza kupitia mchezo wa Win&Go. Kila mchezaji atakayepoteza Sh. 1,000 au zaidi katika raundi yoyote ya mchezo atarudishiwa 10% ya hasara hiyo kama Win&Go Bonus siku inayofuata, kwa hadi Sh. 15,000 kwa siku. Win&Go ni mchezo wa bahati nasibu ulioandaliwa na Expanse Studios,…

Read More

Duchu, Jusa na rekodi Mapinduzi

WAKATI tukisubiri kushuhudia fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026 ipigwe Januari 13, 2026 pale Gombani kisiwani Pemba baada ya jana usiku kuchezwa nusu fainali ya pili kati ya Yanga na Singida Black Stars, kuna nyota wawili wameacha rekodi. Nyota hao ni David Kameta ‘Duchu’ na Yussuf Suleiman Haji ‘Jusa’ anayekipiga kwa mabingwa watetezi wa michuano…

Read More