DCEA:TUMEDHIBITI DAWA ZA KULEVYA SASA WAMEHAMIA KATIKA ULEVI WA POMBE
Na Said Mwishehe,Michuzi TV MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imesema Tanzania imefanya kazi kubwa katika kupambana na dawa za kulevya kiasi ambacho kwa sasa mitaani hazipatikani hivyo waliokuwa wanatumia dawa hizo wengi wao wameangukia katika ulevi wa pombe kupita kiasi. Akizungumza leo Januari 9,2026 katika kikao kazi kati ya DCEA…