Simba yaachana na straika | Mwanaspoti
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Simba Queens, Magnifique Umutesiwase amerejea nchini kwao Rwanda kujiunga na Indahangarwa inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake huko. Hatua hiyo ya Magnifique inakuja miezi michache baada ya Simba Queens kuamua kuachana naye mwishoni mwa mwaka jana ikidaiwa alishindwa kuendana na kasi pamoja na mahitaji ya kikosi hicho, hususan katika eneo la ushambuliaji. Magnifique…