SERIKALI YAFANIKISHA AJIRA 1400 NJE YA NCHI

SERIKALI imefanikiwa kuzalisha ajira zaidi ya 1,400 za vijana kwenda kufanya kazi nje ya nchi katika kipindi cha mwezi Novemba 2025 hadi sasa ikiwa ni matokeo ya mahusiano mazuri yaliyopo kati ya Tanzania na nchi za nje ili kusaidia kupunguza tatizo la ajira kwa Vijana. Akizungumza kwenye hafla ya kuwaaga vijana 109 waliopata fursa ya…

Read More

Ijue misingi ya kuanzisha  ndoa, familia iliyo bora

Dar es Salaam. Msingi wa maisha ya ndoa katika Uislamu ni upendo, kaulimbiu yake ni huruma na maelewano. Maisha ya ndoa katika Uislamu siyo tu kuizuia nafsi na tamaa ya mwili, wala si starehe pekee; bali ni jambo kubwa zaidi kuliko hayo. Ni kushirikiana katika kujenga na kukuza. Ni hisia za kubadilishana  mawazo yaliyoundwa na…

Read More

Siri 10 za kujenga afya imara 2026

Russia. Heri ya sikukuu ya Mwaka Mpya 2026, ndugu wasomaji. Katika kuupokea mwaka huu, leo nitawapa dondoo za kiafya ambazo ukizizingatia, zitakuwezesha kuishi kwa afya njema na kufanya mwaka huu kuwa bora zaidi kwako. Kwanza kabisa, fahamu kwamba sera ya bima ya afya ya Taifa kwa wote inakuja mwaka huu. Pindi itakapokuwa tayari, hakikisha unajiunga…

Read More