VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA NJOMBE WAIPONGEZA EWURA KWA MAFUNZO YA KUONGEZA UELEWA KUHUSU HUDUMA ZA NISHATI
Picha ya Pamoja ya baadhi ya viongozi watendaji wa Kata na Tarafa, waliohudhuria semina iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, leo Januari 8,2026 ….. MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, leo Januari 8,2026 ilitoa…