MAKAMU WA PILI WA RAIS KUZINDUA MASHINDANO MAKUBWA YA QUR’AAN DUNIANI

:::::::: MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano makubwa zaidi ya Qur’aan Tukufu duniani yanayoandaliwa na Taasisi ya Alhikma Foundation. Mashindano hayo yanatarajiwa kufanyika mwaka 2026 kwa mara ya 26 tangu kuanzishwa kwake, yakihusisha washiriki kutoka mataifa mbalimbali duniani. Akizungumza Leo jijini Dar…

Read More

Makonda, Katambi wakabidhiwa wizara, Simbachawene atenguliwa

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi mbalimbali wa Serikali, akifanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri, nafasi za Naibu Mawaziri pamoja na uongozi wa taasisi na uwakilishi wa kidiplomasia. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Desemba 8, 2026 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dk  Moses Kusiluka katika uteuzi huo, Patrobas…

Read More

Katambi Aagiza Kupunguzwa kwa Urasimu katika Huduma za Biashara

Na Pamela Mollel,Arusha  Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Patrobas Katambi, ameiagiza menejimenti ya Wizara pamoja na taasisi zilizo chini yake kupunguza urasimu usio wa lazima kwa kuimarisha sera, sheria na kuboresha mifumo ya usimamizi wa biashara, ili kurahisisha utoaji wa huduma kwa wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi. Akizungumza jijini Arusha Januari…

Read More

TEA NA UNICEF WAFUNGUA MILANGO YA MIRADI YA ELIMU ZANZIBAR

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bw. Khamis Said akifafanua jambo katika kikao kazi maalum cha kujadili utekelezaji wa miradi yaelimu kupitia Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA). ************* Zanzibar Katika kuendeleza ushirikiano na wadau wa Sekta ya Elimu nchini, Mamlaka ya ElimuTanzania (TEA) kwa kushirikiana na Shirika la Kuhudumia Watoto (UNICEF…

Read More

Mahakama za Pakistani Zimewaka Moto – Masuala ya Ulimwenguni

Wanaharakati katika maandamano ya mwili Wangu, chaguo langu. Mkopo: Voicepk.net na Zofeen Ebrahim (karachi, pakistan) Alhamisi, Januari 08, 2026 Inter Press Service KARACHI, Pakistani, Januari 8 (IPS) – Wakati mwaka 2026 unapopambazuka, wanawake nchini Pakistan wanaachwa wakikabiliana na hali halisi: ubakaji na ubakaji katika ndoa unaendelea kutafsiriwa vibaya na majaji katika mahakama za juu zaidi…

Read More

SERIKALI YAFANIKISHA AJIRA 1400 NJE YA NCHI: SANGU

………… Na. OWM -KAM, Dar es Salaam Serikali imefanikiwa kuzalisha ajira zaidi ya 1,400 za vijana na wanawake kwenda kufanya kazi nje ya nchi katika kipindi cha mwezi Novemba 2025 hadi sasa ikiwa ni matokeo ya mahusiano mazuri yaliyopo kati ya Tanzania na nchi za nje ili kusaidia kupunguza tatizo la ajira. Akizungumza kwenye hafla…

Read More

RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI,MAKONDA APEWA WIZARA

…………….. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluh Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa ambayo imetolewa na Katibu Mkuu kiongozi Balozi Dkt Moses Kusiluka imewataja viongozi walioteuliwa kuwa ni pamoja na Paul Christian Makonda kuwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na michezo,ambapo kabla ya uteuzi…

Read More

Simba v JKT Queens hakuna mbabe WPL

HATIMAYE mechi ya malkia wawili, JKT Queens na Simba Queens imemalizika kwa sare ya 1-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi Dar es Salaam. Mechi hiyo ya raundi ya saba inakumbushia mechi ya Desemba 10 mwaka jana matokeo yakiisha kwa sare hiyo hiyo mechi ikipigwa Uwanja wa KMC Complex Mwenge. JKT ilikuwa ya kwanza kupata…

Read More