AKWILAPO ATEMBELEA ENEO UNAPOJENGWA UWANJA WA AFCON ARUSHA

§ Atoa siku kumi na tano wasiokamilisha malipo ya viwanja vinavyozunguka uwanja kukamilisha  Asisitiza waliomilikishwa viwanja kufanya maendelezo Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Akwilapo tarehe 11 Februari 2026 ametembeleo eneo unapojengwa uwanja wa kisasa wa mpira kwa ajili Mashindano ya Fainali za Mataifa ya Afrika…

Read More

Rais Samia safarini Ethiopia kushiriki mkutano AU  

Dar es Salaam. Katika siku 101 tangu alipoapishwa kuiongoza Tanzania, Rais Samia Suluhu Hassan amefanya safari mbili za nje ya nchi, ikiwa ni mikakati wa kuimarisha ushirikiano na uhusiano wa kiuchumi, kisiasa na kidiplomasia. Safari ya kwanza, aliifanya Februari 2, 2026, alikokwenda Falme za Kiarabu (UAE), kushiriki Jukwaa la Afrika la Uwekezaji Duniani (GAIS), akikutana…

Read More

Tume ya maadili viongozi wa umma yapokea kesi 95 za uasharati, udhalilishaji kazini

Unguja. Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma imepokea kesi 95 kutoka kwa watumishi wa umma zikihusiana na uasherati, udhalilishaji wa kijinsia, rushwa na matumizi mabaya ya madaraka.  Kesi nyingine zinazohusiana na tabia zisizofaa zilizopokewa kwa kipindi cha miaka mitano ni pamoja na upendeleo katika ajira, kushindwa kulipa madeni, uonevu, utapeli, lugha za matusi, kutelekeza familia,…

Read More