Anza Safari Yako ya Kuwa Milionea na Meridianbet Leo
Anza Safari Yako ya Kuwa Milionea na Meridianbet Leo – Global Publishers Home Michezo Anza Safari Yako ya Kuwa Milionea na Meridianbet Leo
Anza Safari Yako ya Kuwa Milionea na Meridianbet Leo – Global Publishers Home Michezo Anza Safari Yako ya Kuwa Milionea na Meridianbet Leo
Marekani Yasitisha Viza kwa Raia wa Tanzania Kuanzia Januari 1, 2026 – Global Publishers Home Habari Marekani Yasitisha Viza kwa Raia wa Tanzania Kuanzia Januari 1, 2026
Njombe. Zaidi ya wananchi 450 kutoka vijiji vya Tarafa za Masasi na Mwambao wilayani Ludewa, wameanza kunufaika na mgao wa kilo 225 za mbegu bora za ufuta zinazotolewa bure na Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa, mkoani Njombe. Hii ni sehemu ya mkakati wa kuwawezesha wananchi wa ukanda huo kiuchumi na kuongeza uzalishaji wa mazao ya…
Kibaha. Mkoa wa Pwani umeanza kuchukua hatua mahsusi za kujipanga kuingia katika ushindani wa kimataifa wa maendeleo ya kiuchumi kwa kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji wa viwanda. Akizungumza katika kikao kazi kilichofanyika leo Alhamisi Januari 8, 2026 mjini Kibaha, Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge amesema mkoa huo umeanza kujiandaa kushindana kimataifa katika kuvutia…
Dar es Salaam. Huduma ya Afya ya Aga Khan Tanzania (AKHS, T) imepiga hatua katika safari yake ya mageuzi ya kidijitali baada ya uzinduzi wa mfumo wa kielektroniki wa kumbukumbu za wagonjwa (EHR) katika mtandao wake wa kitaifa wa huduma za afya. Mfumo huo wa Meditech unatarajiwa kurahisisha kazi kwa wataalamu na kuhakikisha wagonjwa wanaohama…
KULIKUWA na vaibu la aina yake jana wakati wa tukio la kuwasili kwa kikosi cha Taifa Stars kilichorejea kikitokea nchini Morocco lilikoenda kushiriki Fainali za 35 za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025 zilizofanyika nchini humo. Timu hiyo iliandika historia mpya katika soka la Tanzania kwa kufuzu hatua ya 16-Bora kwa mara ya kwanza, kabla…
Dar es Salaam. Bunge la Seneta nchini Marekani limewasilisha muswada wa kukomesha kufungwa kwa serikali ya Venezuela. Uamuzi huo umekuja siku chache baada ya vikosi vya Marekani kumkamata Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro katika shambulio la kijeshi tukio ambalo limepingwa na baadhi ya wabunge wa Seneta wakiituhumu serikali kwa kulipotosha Bunge juu ya sababu ya…
Dar es Salaam. Katika jitihada za kukabiliana na tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana, Serikali inatarajia kutangaza ajira 1,000 za madereva na mafundi wa magari pamoja na viyoyozi nje ya nchi mwishoni mwa mwezi huu. Ajira hizo ni sehemu ya jumla ya ajira 8,000 zinazochakatwa na Serikali, ambapo kati ya hizo, 1,000 zinahusisha fursa…
Dar es Salaam. Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) limetangaza kusitisha mkataba wa ajira na aliyekuwa Ofisa Mtendaji Mkuu, Raphael Maganga baada ya uchunguzi kufanyika. Mkataba huo umesitishwa ikiwa imepita miezi mitatu tangu Baraza la Uongozi la TPSF lilipotangaza kumsimamisha kazi Oktoba 3, 2025 na kuagiza kufanyika kwa ukaguzi wa kiuchunguzi kufuatia kuwapo kwa wasiwasi…
Arusha/Dar. Wanasheria wawili wa Tanzania, Tito Magoti na Bob Wangwe wameishtaki Serikali ya Tanzania katika Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki (EACJ), wakilalamikia ukiukwaji wa taratibu za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Magoti na Wangwe wamefungua shauri hilo dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Tanzania na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki…