Pipino akutana na staa wa ndoto zake
NDOTO ya kiungo mkabaji Ahmed Bakari ‘Pipino’, kutamani kucheza timu moja na supastaa raia wa Uganda, Khalid Aucho inakwenda kutimia baada ya kusajiliwa na Singida Black Stars. Simba, Yanga na Azam FC msimu uliopita ziligonga mwamba kupata saini ya Pipino akiwa KMC, lakini imekuwa rahisi kwa Singida kumsainisha mkataba wa miaka mitatu na tayari kakutana…