Yanga Princess yaiadhibu Mashujaa Queens WPL
LIGI Kuu ya Wanawake (WPL) imeendelea leo zikipigwa mechi tano ikiwemo ya Yanga Princess dhidi ya Mashujaa ambapo Wananchi hao waliondoka na ushindi wa mabao 4-1 Uwanja wa Azam Complex Chamazi. Mabao ya Yanga yalifungwa na Asha Djafari dakika ya tisa. Asha amesajiliwa kikosini hapo hivi karibuni na mechi ya leo ilikuwa ya pili kwake,…