Benki ya Dunia yaitambua Tanzania kwa ukomavu matumizi ya teknolojia
Dar es Salaam. Utafiti mpya uliotolewa na Benki ya Dunia (WB) imeitaja Tanzania kuwa miongoni mwa nchi zilizo na ukomavu wa matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) katika sekta ya umma. Hatua hiyo inataja kuthibitisha mafanikio ya mageuzi ya kidijitali yanayoendelea kutekelezwa na Serikali. Kwa mujibu wa Ripoti hiyo ya Ukomavu wa Matumizi…