Enzi Yetu Mpya ya Ukoloni – Masuala ya Ulimwenguni

‘Jukumu la Umoja wa Mataifa la kuwasilisha’ halitayumba, baada ya Marekani kutangaza kujiondoa kutoka kwa mashirika kadhaa ya kimataifa. Credit: UN Photo/Loey Felipe Maoni na Azza Karam (new york) Jumatatu, Januari 12, 2026 Inter Press Service Rais wa Lead Integrity na Mkurugenzi wa Occidental College’s Kahane UN Program. NEW YORK, Januari 12 (IPS) – Tunaishi…

Read More

 Miaka 62 ya Mapinduzi, nongwa, ubaguzi, shuruti ya uzalendo

Wito ulioijengea ushawishi agenda ya Mapinduzi Zanzibar, Januari 12, 1964, ulikuwa kuwaondoa Waarabu kwenye utawala, nyuma ya matamshi yaliyonadiwa ndani ya kampeni ya kumfukuza Sultan. Kwamba, Waarabu waachie madaraka, Wazanzibari asilia wajitawale. Changamoto ambayo imebaki kuwa urithi (legacy) kuhusu Mapinduzi ni tafsiri. Wazanzibari wenye Upemba mwingi, tafsiri yao ya kiimani ni kuwa Unguja iliipindua Pemba….

Read More

Biashara ya viungo vya sehemu za siri inavyochochea ukeketaji – 1

Musoma. Uwepo wa biashara ya siri ya viungo vya binadamu vinavyotokana na ukeketaji umeongeza ugumu wa kutokomeza mila hiyo potofu nchini Tanzania, licha ya kuwapo sera, sheria na kanuni zinazoipiga marufuku. Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi katika Wilaya za Butiama, Tarime na Serengeti, mkoani Mara, umebaini imani za kishirikina ndizo huchochea biashara ya siri inayohusisha uuzaji…

Read More

DC KASILDA AWATAKA WAHANDISI KUTOKA MAOFISINI

NA WILLIUM PAUL, SAME.  MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni amewataka wahandisi wa Halmashauri kuacha tabia ya kukaa ofisini na badala yake kushuka moja kwa moja kwenye miradi ya kimaendeleo, akisisitiza kuwaacha walimu wakuu wa shule na mafundi peke yao kusimamia na kujenga ni hatari kwa ubora wa ujenzi wa miradi na…

Read More