TRA yaanza kufanyia kazi maagizo ya Rais Samia
Arusha. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza utekelezaji wa maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoitaka mamlaka hiyo kuongeza wigo wa utoaji huduma wilayani Karatu, Mkoa wa Arusha. Rais Samia alitoa maagizo hayo wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu 2025 akisema ndani ya siku 100 za utawala wake ataongeza wigo wa huduma za kodi. Jana…