SULUHISHO LA KUSAMBAZA TAARIFA ZA HALI YA HEWA KWA WAKATI KWA WAKULIMA LAJADILIWA
Na Mwandishi Wetu Michuzi Tv MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kwa kushirikiana na Norges Vel na Mpango wa Chakula Duniani (WFP), imekutana na wadau mbalimbali kujadiliana namna ya kufikisha taarifa za hali ya hewa kwa wakati kwa wakulima. “TMA itaendelea kushirikiana na wadau wote kuhakikisha taarifa za hali ya hewa na tabianchi zinakuwa…