Hizi hapa sababu mabasi kuikwepa Stendi ya Magufuli

Dar es Salaam. Suala la baadhi ya mabasi ya mikoani kukwepa kuingia Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi cha Magufuli limekuwa mfupa mgumu huku wadau wa usafirishaji wakitaja sababu inayochangia. Wadau hao wametaja umbali wa stendi, mgongano wa kisheria na siasa kuwa ni miongoni mwa sababu za hali hiyo. Wadau hao…

Read More

STEM inavyoibua wanasayansi, wabunifu wa kesho

Kilichoanza kama wazo dogo takribani miaka tisa iliyopita sasa kimekua na kuwa jukwaa la kitaifa linalobadilisha namna vijana wa Kitanzania, hasa wasichana wanavyojihusisha na fani za sayansi, teknolojia, uhandisi na hisabati (STEM). Kwa nchi kama Tanzania, umuhimu wa masomo ya STEM ni mkubwa sana. Taifa linapojenga uchumi wa kisasa unaotegemea viwanda, teknolojia na maarifa, kunahitajika…

Read More

Mzazi fanya haya kila siku kuimarisha elimu ya Mtoto

Januari inapokaribia, wazazi wengi wanaamini kuwa kazi kubwa imeshamalizika baada ya kulipa ada na kununua sare mpya za shule Hata hivyo, siri ya mafanikio ya mtoto shuleni haipo kwenye ukuta wa madarasa pekee, bali kwenye mazingira yanayotengenezwa nyumbani kila siku. Ili mwanao afanye vizuri na “anyooke” kimasomo na kitabia, hapa kuna orodha ya mambo muhimu…

Read More