Machado aapa kurudi Venezuela Amshukuru Trump na kutaka uchaguzi huru
Machado aapa kurudi Venezuela Amshukuru Trump na kutaka uchaguzi huru – Global Publishers Home Habari Machado aapa kurudi Venezuela Amshukuru Trump na kutaka uchaguzi huru
Machado aapa kurudi Venezuela Amshukuru Trump na kutaka uchaguzi huru – Global Publishers Home Habari Machado aapa kurudi Venezuela Amshukuru Trump na kutaka uchaguzi huru
© UNHCR/Jaime Giménez Mtoto wa Venezuela apata faraja katika hafla inayoongozwa na UNHCR huko Lima, Peru. Jumanne, Januari 06, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Mshtuko wa kisiasa wa Venezuela umezidisha umakini wa kimataifa kwa nchi ambayo tayari inakabiliwa na moja ya machafuko makubwa zaidi ya kibinadamu na uhamishaji makazi. Kwa Umoja wa Mataifa, kipaumbele…
YANGA imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya TRA United katika mechi ya kuhitimisha hatua ya makundi ya Kombe la Mapinduzi 2026. Mechi hiyo iliyochezwa leo Januari 6, 2026 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Unguja, bao la ushindi lilifungwa na Celestine Ecua dakika ya 31 akiitumia vizuri pasi ya Maxi Nzengeli. Katika mechi…
Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timontheo Mnzava, amewataka madiwani na wenyeviti wa vijiji kushirikiana kwa karibu katika kutatua migogoro ya ardhi ili kulifanya jimbo hilo kuwa mfano wa matumizi sahihi ya ardhi na kuimarisha amani kwa wananchi. Mbunge Mnzava ametoa wito huo wakati akiendelea na ziara zake za kukutana na makundi mbalimbali…
Hatua hiyo ya Marekani ilifanya “Mataifa yote kutokuwa salama duniani kote”, alisema Ravina Shamdasani, msemaji wa Kamishna Mkuu. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva, Bi. Shamdasani alikataa uhalali wa Marekani kuingilia kati kwa misingi ya rekodi ya haki za binadamu “ya muda mrefu na ya kutisha” ya Serikali ya Venezuela. “Uwajibikaji kwa ukiukaji wa…
Dodoma. Katika hatua inayotajwa kuwa mwanga mpya kwa vijana wanaokabiliwa na changamoto za afya ya akili, Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) kimezindua mradi wa TevuAfya, unaolenga kushughulikia kwa vitendo matatizo ya afya ya akili miongoni mwa vijana, hususan wanaoishi mijini na pembezoni mwa miji. Akizungumza leo Jumanne, Januari 6, 2026, wakati wa uzinduzi wa mradi…
Dar es Salaam. Shahidi wa tano wa upande wa Jamhuri katika kesi ya wizi wa mafuta na uharibifu wa bomba la mafuta, ameieleza mahakama kuwa alikuta mashine mbili za kuchimbia mafuta aina ya Honda ndani ya yadi iliyodaiwa kuhusishwa na gari lililotiliwa shaka na polisi. Shahidi huyo, Mrakibu wa Polisi Godfrey Lumbage, ameieleza Mahakama ya…
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa watatu wanaodaiwa kuhusika katika matukio tofauti ya mauaji na ukatili wa kijinsia yaliyotokea katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo. Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi Mkoa Morogoro imesema kuwa Januari 4, 2026 walimkamata Helakimu Joseph Kacheli (50), mkulima na mkazi wa kijiji cha Sesenga, kwa tuhuma…
Mbeya. Wananchi wa Kata ya Iwiji, Wilaya ya Mbeya Vijijini, wamelalamikia kukosekana kwa huduma ya umeme wa uhakika, wakisema hali hiyo inaendelea kuathiri kwa kiasi kikubwa shughuli zao za kiuchumi na kijamii. Wananchi hao wamedai kuwa kukatikakatika kwa umeme bila taarifa ya awali kumeongeza usumbufu na gharama za maisha, hali inayowalazimu kutembea umbali mrefu kufuata…
Mwanza. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dk Pius Chaya amewataka wawekezaji wote nchini kuajiri wataalamu wa ndani kutoka vyuo vikuu ili kuvuna ujuzi endelevu. Amebainisha kwamba kwamba Serikali haitamani kuona uwekezaji uliopo nchini unakufa, kushindwa kuendelea na kusimama pale wawekezaji watakapoiacha. Dk Chaya ameitaka Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu…