Azam yaichapa URA Mapinduzi Cup, yaisubiri Simba, Fufuni
USHINDI wa mabao 2-1 ilioupata Azam dhidi ya URA wafungaji wakiwa Jephte Kitambala na Albogast Kyobya, yameifanya timu hiyo kumaliza kinara wa kundi A. Kwa kumaliza kinara ikiwa na pointi saba, Azam sasa imefuzu nusu fainali ikisubiri kukutana na Simba au Fufuni itakayoongoza kundi B. Katika mechi ya leo Januari 5, 2026 iliyochezwa Uwanja wa…