WAKULIMA NGARAMTONI WANUFAIKA NA PROGRAMU YA UPANDAJI MITI YA ECHO EAST
Na Belinda Joseph, Arusha Shirika lisilo la Kiserikali la ECHO East Africa limegawa zaidi ya miche 3,000 kwa wakazi wa kijiji cha Ngaramtoni, mkoani Arusha, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhamasisha upandaji miti kwa lengo la kurejesha rutuba ya ardhi na kukabiliana na changamoto ya ukame. Akizungumza katika hafla ya ugawaji wa miche hiyo…