Machinga, bodaboda wapaza sauti kero za mikopo asilimia 10, Mwigulu akiri kuna shida
Dar es Salaam. Wakati wamachinga, mama lishe na waendesha bodaboda nchini wakilalamikia masharti magumu ya upatikanaji wa mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Serikali, Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, ameweka bayana kuwa fedha hizo awali zilikuwa zikinufaisha makundi ambayo hayakukusudiwa. Amesema vikundi vingine vilinufaika na mikopo hiyo licha ya kutokidhi vigezo, huku baadhi yao vikibainika…