Mabadiliko makubwa uhamiaji yaja | Mwananchi
Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na wadau imeeleza inakusudia kuifanyia mabadiliko idara ya uhamiaji nchini. Maboresho hayo yametajwa kuwa mkakati wa kuendelea kuboresha sekta ya utalii ambayo imekuwa nyenzo muhimu ya uchumi wa nchi. Mabadiliko hayo yametajwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene katika kikao chake na Maofisa…