TPSF yasitisha mkataba wa ajira wa Maganga, sababu yatajwa
Dar es Salaam. Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) limetangaza kusitisha mkataba wa ajira na aliyekuwa Ofisa Mtendaji Mkuu, Raphael Maganga baada ya uchunguzi kufanyika. Mkataba huo umesitishwa ikiwa imepita miezi mitatu tangu Baraza la Uongozi la TPSF lilipotangaza kumsimamisha kazi Oktoba 3, 2025 na kuagiza kufanyika kwa ukaguzi wa kiuchunguzi kufuatia kuwapo kwa wasiwasi…