Sekta binafsi yataja vikwazo katikati ya ukuaji Zanzibar

Unguja. Licha ya sekta binafsi kukuelezwa kukua, imeeleza changamoto ambazo inazipitia za biashara ikiwemo urasimu na gharama kubwa za usajili wa biashara. Hayo yamebainika jana Jumatano Januari 7, 2025 wakati wa ufunguzi wa  Tamasha la 12 la biashara Zanzibar katika viwanja vya maonyesho Nyamanzi Dimani Unguja, ikiwa ni shamrashamra za kuelekea maadhimisho ya miaka 62…

Read More

Sekta isiyo rasmi inavyogeuka kimbilio kwa wahitimu

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikichukua hatua mbalimbali za kukabiliana na tatizo la ajira nchini, sekta isiyo rasmi imeendelea kuwa nguzo ya uchumi kwa vijana wanaohitimu ngazi mbalimbali za elimu nchini. Serikali na wadau mbalimbali wa masuala ya elimu, ajira na maendeleo wameendelea kutilia mkazo katika mifumo ya elimu huku kipaumbele cha Serikali kikiwekwa katika…

Read More

Mabadiliko makubwa uhamiaji yaja | Mwananchi

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na wadau imeeleza inakusudia kuifanyia mabadiliko idara ya uhamiaji nchini. Maboresho hayo yametajwa kuwa mkakati wa kuendelea kuboresha sekta ya utalii ambayo imekuwa nyenzo muhimu ya uchumi wa nchi. Mabadiliko hayo yametajwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene katika kikao chake na Maofisa…

Read More

JKT Queens, Simba Queens  kazi ipo WPL

BAADA ya jana kupigwa mechi nne za Ligi ya Wanawake (WPL), leo saa 12 jioni itaendelea Simba Queens itakapoikaribisha JKT Queens. Hiyo sio mechi ya kawaida, bali ni pambano la kisasi kati ya timu hizo mbili ambazo zimekuwa na ushindani mkali. JKT Queens ambao ni watetezi wa ligi baada ya kutwaa ubingwa wa wanawake msimu…

Read More

Shauri atamani kuvunja rekodi binafsi riadha

MWANARIADHA wa kimataifa wa Tanzania, Magdalena Shauri amesema anataka kuvunja rekodi yake ya taifa ya marathoni kwa wanawake akilenga kukimbia chini ya saa 2:18 katika mashindano yajayo ya kimataifa. Shauri aliweka historia 2023 baada ya kuvunja rekodi ya taifa katika Berlin Marathon, Ujerumani, ambapo licha kumaliza nafasi ya tatu alitumia saa 2:18:41, muda ambao haujawahi…

Read More