KMC yakomba noti usajili wa Pipino

KMC imeingiza zaidi ya Sh70 milioni baada ya aliyekuwa kiungo wa kikosi hicho, Ahmed Bakari Pipino kuvunja mkataba wa miaka miwili uliobaki, huku akikamilisha taratibu za kujiunga na Singida Black Stars. Nyota huyo amekamilisha kujiunga na Singida baada ya kuomba uongozi umruhusu akatafute changamoto mpya, ambapo mabosi wa kikosi hicho waliridhia ombi hilo, ingawa kwa…

Read More

Umuhimu wa kutenganisha amana za wateja katika mfumo wa benki Kiislamu

Hivi karibuni Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa rasmi Kanuni mpya za uendeshaji wa shughuli za kibenki zi-nazozingatia misingi inayoepuka riba. Kanuni hizi zitahusu uendeshaji benki zinazoepuka riba, na pia benki za kawaida zinazokusudia kutoa huduma za kifedha kupitia madirisha maalum yanayojulikana kama Islamic win-dows. Kutolewa kwa kanuni hizi ni hatua ya kihistoria katika sekta…

Read More

Hatua sita muhimu za kifedha mwaka 2026

Mwaka 2026 umeanza, na kwa Watanzania wengi, huu ni wakati wa kuweka maazimio mapya ya maisha, hasa katika masuala ya fedha. Watu wengi huanza mwaka kwa matumaini makubwa ambayo ni kuokoa zaidi, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima, kulipa madeni, au kuwekeza. Hata hivyo, uzoefu wa miaka iliyopita unatufundisha kuwa maazimio pekee hayatoshi. Bila hatua za…

Read More