Mboni; Mshambuliaji aliyepewa maujanja Simba, akaja kuitungua Mapinduzi
SIMBA katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 inayofanyika Zanzibar, ilianza hatua ya makundi na clean sheet ikishinda 1-0 dhidi ya Muembe Makumbi City, lakini ikajikuta ikishindwa kulinda lango lake mbele ya Fufuni licha ya kufuzu nusu fainali. Aliyeitibulia Simba ni mshambuliaji wa Fufuni, Mboni Stephen Kibamba baada ya kuitanguliza timu hiyo kwa bao la…