VETA YALEMEWA NA WANAFUNZI, 18000 WAJITOKEZA KUOMBA KUJIUNGA NA MAFUNZO
Na Seif Mangwangi, Arusha SERIKALI imeuagiza uongozi wa mamlaka ya vyuo vya ufundi stadi nchini( VETA), kupanua wigo wa uandaaji wa wakufunzi na walimu tarajali wa mafunzo ya Amali kwaajili ya shule za Sekondari pamoja na vyuo vya ufundi na ufundi stadi. Agizo hilo limetolewa leo 5 Januari 2025 na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi…