Wananchi wataja kero ya kukatikakatika ka umeme

Mbeya. Wananchi wa Kata ya Iwiji, Wilaya ya Mbeya Vijijini, wamelalamikia kukosekana kwa huduma ya umeme wa uhakika, wakisema hali hiyo inaendelea kuathiri kwa kiasi kikubwa shughuli zao za kiuchumi na kijamii. Wananchi hao wamedai kuwa kukatikakatika kwa umeme bila taarifa ya awali kumeongeza usumbufu na gharama za maisha, hali inayowalazimu kutembea umbali mrefu kufuata…

Read More

Serikali yawabana wawekezaji ajira za wasomi wa vyuo vikuu

Mwanza. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dk Pius Chaya amewataka wawekezaji wote nchini kuajiri wataalamu wa ndani kutoka vyuo vikuu ili kuvuna ujuzi endelevu. Amebainisha kwamba kwamba Serikali haitamani kuona uwekezaji uliopo nchini unakufa, kushindwa kuendelea na kusimama pale wawekezaji watakapoiacha. Dk Chaya ameitaka Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu…

Read More

WANANCHI WAKUMBUSHWA KUCHUKUA TAHADHARI KIPINDI CHA MVUA

Dar es Salaam Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari na kuwa makini katika kipindi cha msimu wa mvua ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza kutokana na kujaa kwa maji katika maeneo ya miundombinu ya barabara. Rai hiyo imetolewa na Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff, wakati wa ufunguzi wa kikao…

Read More

Mhe. Kisuo: Serikali Kuunga Mkono Miradi Yenye Tija

Na.OWM-KAM,Arusha Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Rahma Kisuo amesema kuwa Serikali itaendelea kuunga mkono miradi yenye tija kwa maendeleo ya Taifa ikiwemo ambayo inazalisha ajira kwa vijana. Mhe. Kisuo amesema hayo leo Januari 6, 2026 JIjini Arusha wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya Mradi wa Mount Kilimanjaro…

Read More

Mwili wa dereva wa bodaboda waokotwa msituni Tabora

Tabora. Mwili wa dereva wa bodaboda umeokotwa katika Msitu wa Matitumbi, mkoani Tabora, ukiwa umefungwa mikono kwa kamba ya manila na miguuni kwa mpira, huku ukiwa na majeraha katika sehemu mbalimbali za mwili. Mwili huo umetambuliwa kuwa ni wa Sigela Hamisi, mkazi wa Kata ya Tumbi katika Manispaa ya Tabora. Tukio hilo limebainika leo  Jumanne…

Read More

Biashara chuma chakavu inavyoathiri miundombinu ya umeme

Dar es Salaam. Mtendaji Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Lazaro Twange, amesema licha ya Serikali kufanya uwekezaji mkubwa katika miundombinu ya umeme, changamoto kubwa inayokwamisha juhudi hizo ni biashara ya chuma chakavu, ambayo imekuwa tatizo katika kulinda miundombinu hiyo. Kauli hiyo alitoa leo Januari 6, 2026 mbele ya Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi,…

Read More