Morogoro, Manyara, Zanzibar waanika fursa maeneo ya uwekezaji

Unguja. Mikoa ya Morogoro, Manyara na Zanzibar imebainisha fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo katika maeneo yao na kuwahimiza wawekezaji kuwekeza katika sekta za kilimo, ufugaji, viwanda na uchumi wa buluu. Inaelezwa kuwa lengo ni kukuza biashara na kuchochea maendeleo ya kiuchumi ya maeneo husika na taifa kwa ujumla. Fursa hizo zimewasilishwa katika mdahalo uliofanyika leo,…

Read More

Sakata la Yona lachukua sura mpya, afanya uamuzi

WAKATI tetesi za usajili za kunyemelewa na vigogo Simba na Yanga zikizidi kushika kasi, kipa tegemeo wa Pamba Jiji, Yona Amosi inadaiwa hajaripoti kambini jijini Mwanza ambako timu hiyo inaendelea na mazoezi. Pamba ilirejea kambini tangu Desemba 29, mwaka jana ikijifua kwenye Uwanja wa Nyamagana ikijiandaa na ngwe nyingine ya Ligi Kuu Bara inayorejea upya…

Read More

Wanaharakati Uganda washitushwa na ukamataji kuelekea uchaguzi

Kampala. Kukamatwa na kisha kuwekwa rumande kwa Sarah Bireete, mtetezi mashuhuri wa haki za binadamu na mtaalamu wa masuala ya utawala, kumesababisha mshtuko mkubwa ndani ya jumuiya ya kiraia nchini Uganda. Mwanaharakati huyo amekamatwa zikiwa zimebaki takribani siku 10 kuelekea uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Januari 15, 2026, huku Rais Yoweri Museveni akikabiliwa na upinzani mkali…

Read More

Sakata la Yona lachukua sura mpya, achukuwa uamuzi

WAKATI tetesi za usajili za kunyemelewa na vigogo Simba na Yanga zikizidi kushika kasi, kipa tegemeo wa Pamba Jiji, Yona Amosi inadaiwa hajaripoti kambini jijini Mwanza ambako timu hiyo inaendelea na mazoezi. Pamba ilirejea kambini tangu Desemba 29, mwaka jana ikijifua kwenye Uwanja wa Nyamagana ikijiandaa na ngwe nyingine ya Ligi Kuu Bara inayorejea upya…

Read More

Msimamo wa Chadema wawaibua wadau, watoa maoni tofauti

Dar es Salaam. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikitoa msimamo wake ikiwemo kutaka mwenyekiti wake, Tundu Lissu, kuachiwa huru bila masharti, wachambuzi wa siasa nchini wamesema ni muhimu wanasiasa kukaa meza moja kuzungumza na kutanguliza maslahi ya Taifa mbele. Kauli ya wachambuzi hao inakuja siku moja tangu Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), John…

Read More

Waziri Sangu Atembelea Viongozi wa BAKWATA

  Na. Mwandishi wetu – DSM Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Clement Sangu (Mb.) ametembelea Ofisi za Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Makao Makuu Januari 03, 2025 Jijini Dar es Salaam na kukutana na Viongozi kwa lengo la kujitambulisha na kulitambulisha jukumu jipya la Mahusiano…

Read More

Kukamatwa kwa Maduro ni kama walivyokamatwa Noriega, Saddam

Dar es Salaam. Taarifa za kukamatwa kwa kiongozi wa Venezuela, Nicolás Maduro, na kuwekwa chini ya ulinzi wa Marekani zimefufua kumbukumbu za matukio mengine ya kukamatwa viongozi wa Panama, Iraqi na Honduras. Viongozi walioangushwa madarakani na kutiwa mbaroni ni Manuel Noriega wa Panama na Saddam Hussein wa Iraq, ingawa mazingira ya kisiasa na kijiografia yanatofautiana….

Read More