MAKALLA AIPONGEZA SERIKALI, JKCI YATOA VIPIMO BURE MAGONJWA YA MOYO ARUSHA
Na Pamela Mollel,Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kuimarisha huduma za afya kwa kusogeza huduma za kibingwa za magonjwa ya moyo karibu na wananchi. Anasema uanzishwaji wa Kituo cha…