Wakazi wa Lindi Waendelea kusherehekea Mwaka Mpya na Makapu ya Vodacom.
Afisa wa Vodacom Feruzi Mlaponi ( Kulia) akiwa na mteja wa kampuni hiyo Said Kikotokeki, baada ya kumkabidhi kapu la Vodacom. Tukio hili limefanyika ikiwa ni muendelezo wa kampeni ya kugawa makapu ya sikukuu kwa wateja katika msimu wa sherehe za kuanza mwaka. Kampeni hiyo imeendelea katika mikoa mbalimbali hapa nchini. Hafla hii imeandaliwa na…