Kikwete aridhishwa na miradi ya maendeleo Pemba
Pemba. Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amesema ameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo kisiwani Pemba hatua iliyoimarisha utoaji wa huduma za kijamii, kukuza uchumi na kuongeza kipato cha wananchi. Kikwete amesema hayo leo Jumatatu, Januari 5, 2026, alipozungumza na wananchi baada ya kuzindua Ofisi ya Uhamiaji Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba. Uzinduzi huo ni miongoni…