Maduro kufikishwa mahakamani Marekani leo
Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro, anatarajiwa kufikishwa mahakamani nchini Marekani leo baada ya kukamatwa mwishoni mwa wiki na vikosi vya Marekani, huku Rais wa Marekani, Donald Trump, akiweka wazi uwezekano wa uvamizi mwingine iwapo Marekani haitapata inachokitaka kutoka kwa kiongozi wa mpito wa nchi hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari jana Jumapili, Trump alisema anaweza…