SERIKALI YAHIMIZA UBORA WA KAKAO NA UONGEZAJI THAMANI KULINDA SOKO LA KIMATAIFA
Mkuu wa Wilaya ya Kyela, Mhe. Josephine Manase,akizungumza wakati wa ziara ya kikazi ya kukagua uendeshaji wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) wilayani humo kwa niaba ya Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Patrobas Katambi. …. Serikali imewataka wakulima nchini kuhakikisha wanapeleka kakao yenye ubora sokoni ili kulinda bei nzuri inayoendelea kupatikana kwa…