Raia na oparesheni za misaada ziko moto huku mashambulizi ya anga ya Sudan yakizidi – Masuala ya Ulimwenguni

Watoto wawili wameripotiwa kuuawa na wengine 13 kujeruhiwa katika shambulio la ndege zisizo na rubani kwenye msikiti wa Al-Rahad, Kordofan Kaskazini, ambapo waathiriwa wote walikuwa wanafunzi wa shule inayopakana nayo. Shambulio hilo lilitokea saa chache baada ya shule ya msingi ya Dilling, Kordofan Kusini, kupigwa, na kuripotiwa majeraha zaidi. Ghala la WFP lagongwa Ghala la…

Read More

SERIKALI YAPUNGUZA ADA ZA LESENI KWA WATOA MAUDHUI MTANDAONI, KUCHOCHEA UCHUMI WA KIDIGITALI

…………. Na Carlos Claudio, Dodoma. Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepunguza kwa kiasi kikubwa ada za leseni kwa watoa huduma na wakusanya maudhui mtandaoni, hatua inayolenga kuondoa vikwazo vilivyokuwa vikikabili sekta hiyo na kuongeza ushiriki wa wananchi katika uchumi wa kidigitali. Hatua hiyo imetangazwa leo Februari 12, 2026 jijini Dodoma na Naibu Waziri…

Read More

NEEMA YA KIDIJITALI: Serikali Yashusha Ada kwa Wanablogu, TCRA Yazindua Redio ya Kisasa ‘DSB’

SERIKALI imetangaza neema ya kihistoria kwa wanablogu, vijana wabunifu, na watoa maudhui mtandaoni nchini kwa kupunguza ada za leseni kwa kiwango kikubwa, hatua inayolenga kuchochea ukuaji wa uchumi wa kidijitali na kurasimisha shughuli za wahabarishaji wa mitandao. Hatua hiyo imekuja kufuatia utafiti wa kina na mikutano ya kimkakati ya takribani mwaka mzima kati ya mtandao…

Read More

Vyombo vya Utangazaji Wakutana Dodoma, Mijadala Mizito Yatawala Mkutano Mkuu 2026

Na Mwandishi Wetu, Dodoma MKUTANO Mkuu wa Mwaka wa Vyombo vya Utangazaji 2026 umeanza rasmi jijini Dodoma kwa mijadala mizito inayolenga kuimarisha sekta ya utangazaji nchini. Mkutano huo wa siku mbili ulioanza leo Februari 12, 2026 unatarajiwa kuhitimishwa kesho Februari 13, 2026. Mkutano huo umeandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ukishirikisha wadau mbalimbali wa…

Read More

PPRA YAZINDUA FILAMU ‘WINGA’ KUHAMASISHA WANANCHI KUCHANGAMKIA TENDA ZA SERIKALI

………..  . Na Carlos Claudio, Dodoma. Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imewahamasisha Watanzania kujitokeza kwa wingi kushiriki fursa za zabuni za serikali kupitia mfumo wa NeST, ikisisitiza kuwa zaidi ya shilingi trilioni tano zimetengwa mahsusi kwa ajili ya makundi maalum yakiwemo vijana, wanawake, wazee na watu wenye ulemavu. Akizungumza leo Februari 12,…

Read More

Profesa Msoffe ataka taka zitumike kuzalisha ajira

Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula, Profesa Peter Msoffe amewataka wataalamu wa bioteknolojia kuangalia namna wanavyoweza kutumia fursa zinazoweza kupatikana katika takataka ili waweze kujiajiri. Ametoa kauli hiyo wakati akifungua semina ya wadau wa bioteknolojia na mkutano wa mkuu wa mwaka wa chama cha…

Read More