Moto wateketeza Suzy Lounge Katoro, wananchi watoa ombi

Geita. Wakati wananchi wakiendelea kusherehekea sikukuu ya Mwaka Mpya, moto unaodhaniwa kusababishwa na hitilafu ya umeme umetekeza sehemu ya eneo maarufu la starehe la Suzy Bar and Lounge katika mji mdogo wa Katoro, mkoani Geita. Moto huo ulizuka majira ya saa 6:15 mchana, Ijumaa Januari 2, 2026, wakati shughuli zikiendelea katika eneo hilo. Mashuhuda wamesema…

Read More

Wananchi wa vijiji vitano Pangani wataka kulipwa fidia mapema

Tanga. Wananchi wa vijiji vitano Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, wanatarajiwa kuondoka katika makazi yao kupisha utekelezaji wa mradi mkubwa wa uchimbaji wa madini ya Tembo (heavy minerals), baada ya kukamilika kwa utaratibu wa ulipaji wa fidia. Vijiji vinavyohusika katika mradi huo ni Stahabu, Bweni, Mzambarauni, Mikinguni na Mwera, ambapo maeneo hayo yamegundulika kuwa na…

Read More

Polisi yamwachia Kweka kwa dhamana

Moshi. Jeshi la Polisi limemwachia kwa dhamana Thadey Kweka, ambaye ni raia wa Marekani mwenye asili ya Tanzania. Raia huyo alikuwa akishikiliwa tangu Desemba 28, 2025 katika Kituo Kikuu cha Polisi Moshi Mjini mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo uchochezi. Kamanda wa Polisi Mkoani Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kuachiwa kwake leo Januari 3, 2026. “Ni…

Read More

Kwa Ahmed Bakari ‘Pipino’ sasa kazi tu

BAADA ya kurejea uwanjani akiwa fiti akitoka kuwa majeruhi, kiungo wa KMC, Ahmed Bakari ‘Pipino’ amesema huu ni muda mwafaka wa kuunganisha nguvu na wenzake kuipambania timu hiyo kuondoka mkiani. KMC inaburuza mkia katika msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa inamiliki pointi nne kupitia mechi tisa, ikifunga mabao mawili, kushinda mechi moja na kupoteza saba…

Read More

Dereva aliyefungwa Sudan arejea nchini, asimulia

Dar es Salaam. Nderemo na machozi ya furaha vilitawala jijini Dodoma, wakati wa mapokezi ya Juma Maganga, dereva Mtanzania aliyekuwa amefungwa nchini Sudan Kusini. Maganga alikuwa kizuizini tangu Februari 14, 2025 baada ya gari alilokuwa anaendesha kumgonga na kusababisha kifo cha mwanajeshi. Alitakiwa kulipa faini ya ng’ombe 51 (sawa na Sh36 milioni) kwa mujibu wa…

Read More

Mtego wa Yanga upo hapa, Pedro atia neno

BINGWA mara mbili wa Kombe la Mapinduzi na bingwa wa kihistoria katika Ligi Kuu Bara, Yanga SC, leo Jumapili inatupa karata yake ya kwanza dhidi ya KVZ. Hiyo itakuwa saa 10:15 jioni katika mechi ya kundi C kwenye michuano ya Mapinduzi Cup 2026 inayochezwa Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja. Yanga ikiwa inaanza kutupa…

Read More

Straika aipa mechi tano Transit Camp

STAA wa Transit Camp, Adam Uledi amesema licha ya kuongoza katika Ligi ya Championship kwa idadi ya mabao, lakini matokeo waliyonayo hayaendani na mahitaji akizitaja mechi tano tu zitakawapa mwanga maafande hao kupanda Ligi Kuu Bara. Nyota huyo aliyewahi kung’ara akiwa Ken Gold kwa misimu miwili akiwa kinara wa mabao kikosini, ameendelea kuonyesha makali mbele…

Read More