DC Sweda amaliza mgogoro kati ya waumnii, viongozi wa Kanisa Moravian
Njombe. Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Juma Sweda, amemaliza mgogoro uliodumu kwa miezi kadhaa kati ya waumini wa Kanisa la Moravian Njombe na viongozi wao wa juu kutoka Jimbo la Kusini, huku akiwataka waumini kuhubiri upendo na kudumisha amani ili taifa liendelee kuwa salama na lenye utulivu. Mgogoro huo ulianza Juni 2025, kufuatia kuondolewa kwa…