Dk Mwigulu atoa maelekezo kulinda bidhaa, uwekezaji wa ndani

Mkuranga. Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba ameagiza kuondolewa kwa misamaha ya kodi kwa bidhaa zinazoingizwa kutoka nje ya nchi ambazo zinazalishwa nchini kwa kiwango cha kutosha, akisisitiza hatua hiyo ni muhimu kulinda viwanda vya ndani, ajira za Watanzania na ustawi wa uchumi wa Taifa. Maelekezo hayo ameyatoa leo Alhamisi Februari 12, 2026 wilayani…

Read More

Makada waliokimbilia Chaumma mbioni kurejea tena Chadema

Dar es Salaam. Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Patrick Assenga, amesema yupo kwenye maandalizi ya mwisho kukihama chama hicho na kurejea Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) kuendeleza mapambano. Amesema sababu ya kufanya hivyo zipo tatu kwanza kimepoteza mvuto, uelekeo na maono waliyofikiria kuyafikia, kutokulaani mambo yanayowakwaza wananchi na kukosoa vyama vingine…

Read More

Maaskofu Katoliki watoa ujumbe wa Kwaresma

Dar es Salaam. Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), limewaasa waumini wake na jamii kwa jumla kusimamia misingi ya matendo mema kama inavyoagizwa na maandiko matakatifu. Wito huo umetolewa katika ujumbe wa baraza hilo kwa waumini wa Kanisa Katoliki kuelekea mfungo wa Kwaresma unaoanza Jumatano ijayo ya Februari 18, 2026 likinukuu maandiko matakatifu…

Read More

Mbunge Dk Makame ataja uchelewaji uchangiaji bajeti Jumuiya Afrika Mashariki unavyokwamisha maendeleo

Dar es Salaam. Kufuatia kusuasua kwa utekelezaji wa mipango ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kunakosababishwa na ukata wa fedha, Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala) kutoka Tanzania, Dk Abdullah Hasnuu Makame amewataka wakuu wa nchi kukutana kujadili namna ya kuziba nyufa ili kuinusuru Jumuiya hiyo. Dk Makame amebainisha hayo leo Februari 12, 2026…

Read More