Serikali yatenga Sh125 bilioni kujenga mabwawa
Dar es Salaam. Serikali imetenga Sh125 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa mabwawa saba katika mikoa ya Morogoro na Dodoma baada ya upembuzi yakinifu kukamilika. Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo amesema hayo alipopewa nafasi na Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba kuwasalimia wakazi wa Gulwe, Mpwapwa mkoani Dodoma. Dk Mwigulu jana Januari 2, 2026 alifanya ukaguzi wa…